MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Sunday 24 April 2016

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mji Geita Ndugu Max Kamaoni akisoma taarifa ya miradi ya maendeleo ambayo imetembelewa na Mheshimiwa  Meja Jenerali (Mstaafu) Ezekiel Kyunga Mkuu wa Mkoa wa Geita (hayupo kwenye picha) wakati wa ziara yake ya kikazi katika Halmashauri hiyo tarehe 23/04/2016.(PICHA  OFISI YA RC - GEITA).