Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Mji Geita Ndugu Max Kamaoni akisoma taarifa ya miradi ya maendeleo ambayo imetembelewa na Mheshimiwa Meja Jenerali (Mstaafu) Ezekiel Kyunga Mkuu wa Mkoa wa Geita (hayupo kwenye picha) wakati wa ziara yake ya kikazi katika Halmashauri hiyo tarehe 23/04/2016.(PICHA OFISI YA RC - GEITA).