MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Sunday 24 April 2016

Mkuu wa Mkoa  wa Geita akiongozana na viongozi  wa Wilaya ya Geita kukagua mradi wa nyumba 18 za watumishi  zilizonunuliwa na Halmashauri ya Mji Geita kutoka Shirirkr la nyumba la taifa (NHC) ili kusaidia kuboresha makazi ya watumishi katika Halmashauri hiyo.(Wakwanza kulia ni Manzie Mangochie Mkuu wa Wilaya ya Geita).


Baadhi ya nyumba zilizotembelewa na kukaguliwa zinavyoonekana.Nyumba hizi zina uwezo wa kuhudumia familia mbili kwa wakati mmoja.