MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 14 July 2014

Afisa Elimu wa Wilaya ya Bukombe akizungumza na walimu wa wilaya hiyo waliohudhuria mafunzo kabla ya kumkaribisha Afisa Elimu wa Mkoa wa Geita Bi. Ephrasia Buchuma ili afunge mafunzo ya siku tatu ya walimu.