MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 15 July 2014

Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Geita wakiwa katika Mkutano wa hadhara ambapo Mwenyekiti wa Kamati hiyo alikuwa akizungumza na wachimbaji wadogo wa dhahabu katika eneo la Samina hivi karibuni.