MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 14 July 2014

Mwenyekiti wa kikundi cha wafanya biashara Mjini Geita Ndugu Bugomola akimkabidhi Mkuu wa Mkoa Pikipiki 20 kwa ajili ya jeshi la polisi Mkoa wa Geita.