MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 14 July 2014

Katibu wa kikundi cha wafanya biashara Mjini Geita ndugu Komba Otmary akisoma Risala ya kikundi wakati wa hafla ya kukabidhi pikipiki 20 kwa jeshi la Polisi na baiskeli 4 kwa Polisi jamii.