MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 14 July 2014

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita Joseph Konyo akieleza jambo wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na kikundi cha wafanya biashara  wa Mji wa Geita  ya kukabidhi pikipiki kwa jeshi la polisi Mkoani hapa.