MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 14 July 2014

Mwenyekiti wa Ulinzi shirikishi Mkoa wa Geita Atanazy Enyasi akimkabidhi Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Geita Mhe. Magalula Saidi zawadi  kwa ajili ya askari waliofanya kazi nzuri ya kupambana na majambazi Mkoani Geita hivi karibuni.