MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 9 January 2014

Katibu Tawala Mkoa wa Geita Bw. Severine Kahitwa katikati  akitoa maelekezo kwa wajumbe wakati wa kikao cha Bodi ya ushauri wa Barabara Mkoa wa Geita kutoka kulia ni mhe. Magalula Saidi Mkuu wa Mkoa  kushoto ni Ndg.Senkuku Harun meneja wa Tanroads  Mkoa wa Geita.