MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 11 March 2015

Mhe. Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita akiongea na wananchi wa Mwakata (hawapo kwenye picha) alipowatembelea kwa lengo la kutoa msaada na rambi rambi kwa waanga wa maafa ya mvua.