MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 7 January 2016

Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakiwa tayari kushiriki katika ziara ya Mheshimiwa Samia Suluhu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipokuwa akiwasili Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita tarehe 4/01/2016 kwa ajili ya kusomewa taarifa ya Mkoa.(PICHA ZOTE OFISI YA MKUU WA MKOA GEITA)