MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 March 2014

Katibu wa kikundi cha ufugaji Nyuki cha Ikina Faustine Ntaliyo akisoma taarifa ya kikundi hicho mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Magalula Saidi wa nne kutoka kushoto, wa kwanza kutoka kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Severine Kahitwa, wapili ni Katibu Tawala Msaidizi  Idara ya uchumi na uzalishaji ndg: Emil Kasagala na watatu ni Mkuu wa Wilaya ya Geita Mhe. Manzie Mangochie.