MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 3 March 2014

Mwanafunzi wa kidato cha kwanza Amina Said wa shule ya sekondari Nyijundu akijibu swali lililoulizwa na Mkuu wa Mkoa Mhe.Magalula Saidi alipotembelea shule hiyo hivi karibuni.


Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Nyang'hwale Manzie Mangochie ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Geita akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nyijundu katika mkutano wa hadhara wakati wa ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa Wilayani humo.