MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 19 March 2014

Mwakilishi wa Wakala wa  Huduma za Misitu wilaya ya Geita ndg Bruno Kawiti akisoma risala katika maadhimisho ya siku ya ufugaji Nyuki iliyofanyika katika Kijij cha Ikina kata ya Bukoli Wilaya ya Geita.