MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 6 July 2015

Baadhi ya wanamichezo na wadau mbalimbali wa michezo waliojitokeza kushuhudia Ufunguzi wa Tamasha la LIVE YOUR GOAL na Mafunzo ya Grass Roots kwa Mpira wa wanawake uliofanyika  katika  uwanja wa michezo wa shule ya sekondari Nyankumbu Wilaya ya Geita.