MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 9 July 2015

Baadhi ya watoto wakike wakicheza mpira wa miguu katika viwanja vya shule ya sekondari ya wasichana Nyankumbu wakati wa ufunguzi wa Tamasha la LIVE YOUR GOALS na mafunzo ya Grassroots Mkoani Geita. Mafunzo hayo yaliandaliwa na TFF pamoja na FIFA.