MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 9 July 2015

Mheshimiwa Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa chama cha mpira wa miguu Geita (GEREFA) na mabalozi wa mchezo wa mpira wa wanawake nchini. Wanne kutoka kushoto ni Mheshimiwa Manzie Mangochie Mkuu wa Wilaya ya Geita.