MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 10 July 2015

Ndugu Henry Tandau Mkurugenzi wa ufundi na utawala wa shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) akimkabidhi mgeni rasmi Bi: Fatma Mwassa zawadi ya mipira wakati wa ufunguzi wa Tamasha la LIVE YOUR GOALS lililofanyika shule ya Sekondari Nyankumbu Mkoani Geita.