MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 10 July 2015

Mwenyekiti wa kamati ya maendeleo ya mpira wa wanawake kutoka TFF Ndugu Kiondo akizungumza na wadau wa mchezo wa mpira wa miguu Mkoani Geita wakati wa ufunguzi wa Tamasha la LIVE YOUR GOALS.