MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 25 November 2014

Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa Mkoa wa Geita ambaye sasa ni Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro Ndugu Severine Kahitwa akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita wakati wa sherehe za kukabidhi Ofisi kwa Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Geita.Katika sherehe hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita Ndugu Kahitwa aliwashukuru watumishi kwa ushirikiano waliompa wakati wa utendaji kazi wake katika Mkoa wa Geita na aliwataka kuendeleza mema hayo kwa kufanya kazi kwa bidii na uhadilifu wa hali ya juu kwa lengo la kuleta maendeleo katika Mkoa  wa Geita.