MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 12 November 2014

Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Pamba kanda ya Ziwa ndugu kalidushi Buruma akichangia mada kuhusu kilimo cha mkataba cha Pamba wakati wa Mkutano wa tisa wa Sekta ndogo ya Pamba Mkoa wa Geita.