MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 25 November 2014

Makatibu Tawala wa Mikoa ya Geita na Kilimanjaro wapili na watatu kwa waliokaa kutoka kulia wakiwa katika picha ya pamoja Wakuu wa Idara Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita wakati wa sherehe za makabidhiano ya Ofisi baina ya ndugu Severine Kahitwa ambaye alikuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita ambaye anahamia Mkoa wa Kilimanjaro na ndugu Charles Pallangyo ambaye ndiye Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Geita.