MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 25 November 2014

Baadhi ya wageni waalikwa na watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita,Taasisi za Umma na Mashirika wakiwa katika ukumbi wa Mikutato Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita wakifuatilia kwa karibu shughuli ya Makabidhiano ya Ofisi baina ya Katibu Tawala wa Mkoa anayehama ndugu Severine Kahitwa (Katibu Tawala Mkoa wa Kilimanjaro) na Katibu Tawala Mpya wa Mkoa wa Geita Ndugu Charles Pallangyo.