MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Tuesday 25 November 2014

Makatibu Tawala wa Mikoa ya Geita na Kilimanjaro wapili na watatu (waliokaa) kutoka kulia wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Idara ya Utawala na rasilimali watu Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita. katika sherehe za makabidhiano ya Ofisi baina ya viongozi hao.Wakwanza kushoto waliokaa ni Mkuu wa Idara ya Utawala na rasilimali watu Bw: Samsoni Mashalla na wakwanza kulia ni Afisa Utumishi Mwandamizi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Geita Bw: Magange .H. Mwita.