MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 12 November 2014

Mwakilishi wa Kampuni ya Tanzania Gast Trust (TGT) Dr. Sililima akichangia mada kuhusu kilimo cha Pamba cha Mkataba wakati wa Mkutano wa tisa wa wadau wa Sekta ndogo ya Pamba Mkoa wa Geita.