MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 12 November 2014

Mwakilishi wa Kampuni ya Quton ndugu Benedicto Massele akitoa ufafanuzi kuhusu Mbegu za Pamba za Quton (mbegu zisizo na manyoya) wakati wa Mkutano wa tisa wa Sekta ndogo ya Pamba Mkoa wa Geita.