MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Monday 24 November 2014

Makatibu Tawala wa Mikoa ya Geita na Kilimanjaro wapili na watatu walio kaa kutoka kulia wakiwa katika Picha ya pamoja na viongozi na wawakilishi wa Taasisi za Umma na binafsi wakati wa sherehe fupi za makabidhiano ya Ofisi baina ya aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ndugu Severine Kahitwa ambaye amehamia Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Charles Pallangyo Katibu Tawala mpya wa Mkoa wa Geita.