MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 16 April 2014

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Severine Kahitwa akifungua kikao cha wadau wa Elimu Mkoa wa Geita, Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa shule ya sekondari ya wasichana Nyankumbu mjini Geita.