MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 16 April 2014

Wadau wa Elimu Mkoa wa Geita wakitembea kujionea namna ujenzi wa shule ya Wasichana Nyankumbu unavyoendelea wakati wa kikao cha wadau wa Elimu Mkoa wa Geita Mbele kulia ni Mhe. Magalula Saidi Mkuu wa Mkoa wa Geita na katikati ni Mkuu wa shule ya Sekondari Nyankumbu.