MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 16 April 2014

Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie wapili kutoka kulia akimwongoza Mkuu wa Mkoa wa Geita Magalula Saidi wakwanza kushoto wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu Mkoa wa Geita.Katikati ya Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ni Bi Husna Mwilima Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe.