Mkuu wa Wilaya ya Geita Manzie Mangochie wapili kutoka kulia akimwongoza Mkuu wa Mkoa wa Geita Magalula Saidi wakwanza kushoto wakati wa ukaguzi wa ujenzi wa shule ya Sekondari ya Wasichana ya Nyankumbu Mkoa wa Geita.Katikati ya Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa ni Bi Husna Mwilima Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe.