MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 16 April 2014

Msimamizi wa Ujenzi wa Nyumba za Walimu na Mabweni ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyamkumbu akieleza jambo kwa wadau wa Elimu wakati walipofanya ukaguzi katika shule hiyo.