MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 16 April 2014

Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhe. Magalula Saidi akipata maelezo kutoka kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Nyankumbu ambao walikuwa wakifanya utafiti katika maabara ya shule hiyo.