MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 29 May 2014

Viongozi wa Mkoa wa Geita na Benki ya NMB wakikagua madawati 100 yaliyotolewa na Benki hiyo katika Mkoa ili kusaidia kupunguza tatizo la wanafunzi wengi wa shule za msingi kukaa chini,madawati yote 100 yalipelekwa shule ya Msingi Nyanza ili kumaliza kabisa tatizo la madawati katika shule hiyo.