Wednesday, 19 August 2015
| Mradi wa Tanki la maji Kilimahewa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe ambao ulizinduliwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru 2015 unaosaidia zaidi ya wananchi 2500 wa Ushirombo. |
| Kiongozi wa Mbio za Mwenge akimkabidhi mama Chandarua chenye dawa kuonyesha juhudi za serikali za kupambana na ugonjwa wa malaria ili kuhakikisha kuwa wananchi wanakuwa na afya njema wakati wote. |
Friday, 10 July 2015
FAHAMU YALIYOJILI MKOANI GEITA WAKATI WA UFUNGUZI WA TAMASHA LA LIVE YOUR GOALS NA MAFUNZO YA GRASSROOTS YALIYOANDALIWA NA TFF PAMOJA NA FIFA
Thursday, 9 July 2015
Monday, 6 July 2015
Thursday, 30 April 2015
FAHAMU YALIYOJILI KATIKA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI MKOA WA GEITA LILILOFANYIKA TAREHE 29/04/2015
Thursday, 26 March 2015
WAZIRI WA NISHATI NA MADINI ATEMBELEA MKOA WA GEITA WANANCHI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI ILI KUJILETEA MAENDELEO NA KUKUZA UCHUMI WA NCHI.
| Mhe. George Simbachawne Waziri wa Nishati na Madini akikagua shughuli za uchimbaji wa madini ya dhahabu katika Mdodi wa Busolwa Mine wakati wa Ziara yake Mkoa wa Geita. |
Wednesday, 11 March 2015
MKOA WA GEITA WAWAFARIJI WAANGA WA MAAFA YA MVUA KUBWA HUKO MWAKATA WILAYA YA KAHAMA
Subscribe to:
Comments (Atom)