MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Ibrahimu Marwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mbogwe kabla ya kumwomba mkimbiza Mwenge kitaifa Ndugu Wito Mlemelwa kuweka jiwe la msingi katika Nyumba ya mwalimu wa shule ya Sekondari Mbogwe.