MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Katibu Tawala Mkoa wa Geita Severine Kahitwa akiagana na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Kitaifa Rachael Kassanda wakati wa makabidhiano ya Mwenge kati ya Mkoa wa Geita na Mkoa wa Shinyanga huko Mwabomba.