MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014


Kiongozi wa Mwenge akijionea shughuli za ufuaji vyuma huko Bukoli Geita
Mkimbiza Mwenge kitaifa akizindua barabara ya mtaa huko Nyarugusu,barabara hiyo imejengwa kwa kiwango cha changalawe.
Uzinduzi wa barabara ya lami ya NMB,GESECO
Kiongozi wa mbio za Mwenge akiongea na wananchi wa Butobela baada ya kuzindua mashine ya kukamua alizeti ya kikundi cha vijana.
Kiongozi wa mbio za Mwenge akizindua Klabu ya kupinga Rushwa Bulela Sekondari