MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Rachael Kassanda akifungua mradi wa maji katika kijiji cha msasa wilaya ya Bukombe. Mradi huu utanufaisha mamia ya watu ambao walikuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta maji.