MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 15 October 2014

Samaki wa kufugwa waliovuliwa kutoka katika mabwawa ya watu binafsi huko ipalamasa Wilaya ya chato baada ya uhamasishaji wa ufugaji wa Samaki unaofanywa na Mkoa wa Geita kwa lengo la kuinua kipato cha wananchi.