MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Ndugu Severine Kahitwa akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, Makabidhiano hayo yalifanyika tarehe 01/10/2014 katika kijiji cha Mwabomba mpakani mwa mikoa ya Geita na Shinyanga.