MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Wananchi wa kata ya Lugunga wilaya ya Mbogwe wakiwa wamejitokeza kwa wingi kuona na kuushangilia Mwenge wa Uhuru ambao ulifikishwa katani hapo kwa kazi ya kuweka jiwe la msingi katika Ofisi ya kata ya Lugunga wilayani humo.