MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Kiongozi wa Mbio za Mwenge Rachael Kassanda akizungumza na wananchi wa Mkoa wa Geita wakati wa mbio hizo Mkoani humu ambapo aliwataka wananchi kuidumisha amani iliyopo  ili wazidi wajipatie maendeleo,pia aliwataka wananchi waepukane na vitendo vya Rushwa, Madawa ya kulevya pamoja na Ukimwi.