MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Friday 3 October 2014

Mkuu wa Wilaya ya Bukombe Amani Mwenegoha akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe Ibrahimu Marwa,Makabidhiano hayo yalifanyika katika kijiji cha Lulembela tarehe 30/9/2014. Katika kijiji hicho Mwenge wa Uhuru ulifungua mradi wa maji.