MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 11 March 2015

Mhe. Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita akipokewa na Mkuu wa Wilaya ya Kahama Benson Mpesya baada ya kuwasili kijiji cha Mwakata wilaya ya Kahama kwa ajili ya kutoa msaada na Mkono wa pole kwa waanga wa Mvua kali iliyonyesha hivi karibuni na kusababisha vifo na uharibifu mali nyingi za wananchi wa kijiji hicho.