MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 11 March 2015

Sehemu ya wananchi wa kijiji cha Mwakata Wilaya ya Kahama wakimshuhudia Mkuu wa Mkoa wa Geita na ujumbe wake kutoka Mkoani Geita wakitoa rambi rambi na kuwajulia hali wananchi waliopatwa na maafa.