MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 26 March 2015

Mhe. George Simbachawene Waziri wa Nishati na Madini akikata utepe kuashilia kufungua nyumba 18 za wananchi wa Buhalahala ambazo zimejengwa na Mgodi wa Geita kama fidia baada ya kuchukua maeneo ya wananchi hao.Wapili kulia kwa Waziri ni Mhe. Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita na kushoto ni Meneja wa Mgodi wa Geita Bw. Michael Van Anen.