MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 26 March 2015

Mhe. Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita akiongozana na Mhe. George Simbachawene  Waziri wa Nishati na Madini wakati wa ukaguzi wa miundombinu ya maji ambayo inatarajia kusambaza maji mjini Geita. Mradi huo wa maji wa Mjini Geita unatekelezwa na Serikali kwa kushirikiana na Kampuni ya uchimbaji wa madini Geita (GGML). Mradi huo unatarajiwa kukamilika mapema mei 2015.