MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Thursday 26 March 2015


Wananchi wa Mkoa wa Geita hususani mjini Geita wakiwa wamejitokeza kwa wingi kumsikiliza Mhe. George Simbachawene Waziri wa Nishati na Madini (hayupo pichani) wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku mbili Mkoa wa Geita.