MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 11 March 2015

Mwenyekiti wa kijiji cha Mwakata wilaya ya Kahama ambaye pia ni muanga wa Mvua akimshukuru Mkuu wa Mkoa wa Geita na ujumbe wake kwa   msaada walioutoa kwa wananchi wa kijiji hicho.