MAWASILIANO YA BLOG

KWA MAONI NA USHAURI WASILIANA NA OFISI YA HABARI NA MAWASILIANO KWA SIMU NAMBA 0764 143 977 AU E-MAIL: habarigeita@gmail.com

Wednesday 11 March 2015

Mhe. Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Geita katikati akijadiliana na wakurugenzi wa halmashauri za wilaya za Bukombe na Nyang'hwale aliokuwa ameambatana nao Mwakata - kahama.

Mkuu wa Mkoa wa Geita Fatma Mwassa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Geita ndugu Charles Pallangyo wakimsikiliza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Bukombe James Ihunyo (katikati) walipokuwa kijiji cha Mwakata wilaya ya Kahama.